Mshindi wa Big Brother Africa Idriss Sultan Jana Yamemkuta,Baada ya kupost picha kwenye page yake ya Instagram akiwa Amevaa saa aina tofauti.Ukurasa maarufu Instagram kwa kubaini saa feki ulimpa makavu idris kuwa saa zote alizopost ni feki na hazijulikani.
Mpaka sasa Idris hajafunguka kuhusu swala hilo
No comments:
Post a Comment